-Shehena ya kwanza iliwasili nchini Kenya na itaanza kusambazwa kwa wakaazi wa kaunti zilizoathirika zaidi
-CS Wamalwa alisema serikali inafahamu maeneo mengi nchi wamekumbwa na baa la njaa
Shehena ya kwanza kati ya magunia 200,000 ya mchele yaliyotolewa kama msaada kutoka China imewasili nchini kama njia moja ya kukabiliana na janga la njaa.
Kulingana na waziri wa ugatuzi Eugene Wamalwa, nafaka hiyo itasambazwa katika kaunti 17 ambazo zinashuhudia ukame kwa viwango vya juu. Read More...
Dasha Nekrasova, Chloe Cherry and Betsey Brown have been cast in “www.RachelOrmont.com,” a sci-fi drama currently in production.
The film, the second feature from writer and director Peter Vack, is described as a “psychedelic technosatire about growing up in captivity. Read More...